everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,037
Sio kwamba ronaldo kamzidi mesi mamy?
Coz last tym kufuatilia ronaldo alikuwa amemzid messi ila sasa watu wakaweka matumaini kua mesi angeshinda fainal
Kwenye La liga Ronaldo ndo kamzidi Messi ila huku kwenye UEFA wote watatu Messi ,Ronaldo na Neymar wana magoli 10 .