Crispin sam
Member
- Oct 27, 2015
- 49
- 5
Jaman kat ya mechanical na biomedical equipement engineering ip n kozi nzuriiiiiii wana jamv nisaidien
Kwann ???biomedical huwezi huwezi kulinganisha na takataka hiyo
biomedical ina soko halafu hutumii nguvu kama mechanical kushusha majini yenye oilKwann ???
Vp kweny suala la soko au ajira vp ?
Teh teh upumbavu nimzigo.biomedical huwezi huwezi kulinganisha na takataka hiyo
Duh kumbeebiomedical ina soko halafu hutumii nguvu kama mechanical kushusha majini yenye oil
Kwanini kaka ?!Teh teh upumbavu nimzigo.
wewe mwenyewe akili ndogo wangapi wamesoma hiyo mechanical engineering wanalia njaaTeh teh upumbavu nimzigo.
Africa bado sana ,mtu hasomei kitu anachokipenda anasoma ili apate ajira ,no passion bado tuna safari ndefu sanawewe mwenyewe akili ndogo wangapi wamesoma hiyo mechanical engineering wanalia njaa
Mimi mwenyewe akili ndogo sijawahi kuona mtu kasoma Mechanical then analia njaa.Watu wanaiogopa mech kutokana na ugumu wake,ndio mana inasoma watu wachache.wewe mwenyewe akili ndogo wangapi wamesoma hiyo mechanical engineering wanalia njaa
Kama unahitaji kusoma engineering soma hizi hapa chini.Jaman kat ya mechanical na biomedical equipement engineering ip n kozi nzuriiiiiii wana jamv nisaidien
Mechanical ni kozi mama ktk engineering hio civil na umeme hio Biomedical ni sub field ndani ya umeme, Mkuu uliomba ushauri hebu tazama kipi unapenda kwa ushauri wangu tu soma Mechanical mana hio biomedical hata degree hazijaanza kutolewa hapa tz pili ni course mpya ambayo haina jina sana ktk uwanja wa ajili japo ni nzuri pia Diploma ipo Arusha Tech na DIT tu ambapo arusha ni combination ya electrical and biomedical engineering while Dar institute of technology ni Biodemical equipment engineering kama level ya diploma nenda Arusha Atcbiomedical huwezi huwezi kulinganisha na takataka hiyo
wewe unaujua ukweliiiiMechanical ni kozi mama kwa engineering huwez kuifananisha na biomedical eng
anaifananisha mech na AUTOMOBILE ENG.Mimi mwenyewe akili ndogo sijawahi kuona mtu kasoma Mechanical then analia njaa.Watu wanaiogopa mech kutokana na ugumu wake,ndio mana inasoma watu wachache.
Nashangaa unaposema mechanical nikushusha engine yenye oil nikikuuliza unitajie watu wanne unaowafahamu wamesoma mechanical engineering then wanashusha engine hutomtaja hata mmoja.