Mjuzi Wenu
Senior Member
- Nov 18, 2017
- 108
- 100
Habari wakuu
Mimi ni muhitimu wa shahada ya uhandisi mitambo yaan mechanical engineering
Natafuta kazi au nafasi ya kujitolea ili niweze kuendeleza taaluma yangu na kujiinua kiuchumi
kazi ninazo weza kuzifanya bila kusimamiwa ni
computer aided design (CAD)
engineering drawing kwa ustadi wa juu
machine maintenance
automobile maintenance
welding and fabrication
production plan and control
kwa sas nipo dar es salaam ila nipo tayali kufanya kazi katika mkoa wowote
natanguliza shukrani
Mimi ni muhitimu wa shahada ya uhandisi mitambo yaan mechanical engineering
Natafuta kazi au nafasi ya kujitolea ili niweze kuendeleza taaluma yangu na kujiinua kiuchumi
kazi ninazo weza kuzifanya bila kusimamiwa ni
computer aided design (CAD)
engineering drawing kwa ustadi wa juu
machine maintenance
automobile maintenance
welding and fabrication
production plan and control
kwa sas nipo dar es salaam ila nipo tayali kufanya kazi katika mkoa wowote
natanguliza shukrani