Nawaiteni walenga watungaji wa zamani
Wenye ujuzi kutunga, mafumbo ya kila fani
Kuna jambo lanitinga, mnitoe mashakani
MDUDU KAINGIAJE NDANI YA KOKWA YA EMBE?
Nawaiteni walenga watungaji wa zamani
Wenye ujuzi kutunga, mafumbo ya kila fani
Kuna jambo lanitinga, mnitoe mashakani
MDUDU KAINGIAJE NDANI YA KOKWA YA EMBE?
Nawaiteni walenga watungaji wa zamani
Wenye ujuzi kutunga, mafumbo ya kila fani
Kuna jambo lanitinga, mnitoe mashakani
MDUDU KAINGIAJE NDANI YA KOKWA YA EMBE?
Si vizuri kula embe na kisha kukatili kokwa lake kwa sababu za kuchunguza mdudu! Hasa ukizingatia kokwa ni kiungo muhimu kwa ustawi wa kizazi kijacho cha maembe!
Kipind ni ua huja wadudu kma nyigu ambaye hutaga yai. Hili yai hupitia stage zote za kuwa mdudu...ndyo maana maembe mengine unakuta yanaozea mtin sababu yule ndudu anatoboa ili atoke
Nawaiteni walenga watungaji wa zamani
Wenye ujuzi kutunga, mafumbo ya kila fani
Kuna jambo lanitinga, mnitoe mashakani
MDUDU KAINGIAJE NDANI YA KOKWA YA EMBE?