Huchanganyi na kitu chochote? Na hiyo hiyo uliochemsha siku ya Kwanza ndio unatumia siku tano au Kila siku unachemsha fresh.Pole pole mkuu, Kiufupi nilipata shida hiyi miaka ya nyuma na tatizo ni kwamba nilikuwa napendelea vitu vya sukari ambavyo vilipelekea meno kupekechwa na kuwa mepesi nikang'oa ila wapi nakumbuka Luna Sikh nililala kwenye boneti ya gari,ni baada ya MTU kuniambia nikajaze jino lililokuwa limetoboka,asubuhi yake ilibidi tuu niwahi wakalichomoe..
Tiba: nilitumia ndulele ,unachkua ndulele kama tano unakata kati unachemsha na maji nusu Lita ikichemka kabisa unaacha ipoe kisha unasukutua asubuhi,mchana jioni Siku tano,ndio Tiba ilionisaidia miaka kumi sasa shida imeisha,shida ni madini ya calcium Mara nyingi hivyo vitu kama dagaa vinasaidia,sidhani kama kuna mdudu wa jino kwangu ni nadharia...karibu
ndulele inafanana je?Pole pole mkuu, Kiufupi nilipata shida hiyi miaka ya nyuma na tatizo ni kwamba nilikuwa napendelea vitu vya sukari ambavyo vilipelekea meno kupekechwa na kuwa mepesi nikang'oa ila wapi nakumbuka Luna Sikh nililala kwenye boneti ya gari,ni baada ya MTU kuniambia nikajaze jino lililokuwa limetoboka,asubuhi yake ilibidi tuu niwahi wakalichomoe..
Tiba: nilitumia ndulele ,unachkua ndulele kama tano unakata kati unachemsha na maji nusu Lita ikichemka kabisa unaacha ipoe kisha unasukutua asubuhi,mchana jioni Siku tano,ndio Tiba ilionisaidia miaka kumi sasa shida imeisha,shida ni madini ya calcium Mara nyingi hivyo vitu kama dagaa vinasaidia,sidhani kama kuna mdudu wa jino kwangu ni nadharia...karibu
Kila kitu unajua Hadi siasa wewe ni mbea wa taifa.Amoxline 2*3*7
ndulele inafanana je?
Yes,mbili mara tatu siku saba,Nameza kawaida au nafanyaje???
Kuna vitu baadhi sijui,vingi najua,,afterall mimi nimecheza tiari bado kwenye korido za MCH na OPDKila
Kila kitu unajua Hadi siasa wewe ni mbea wa taifa.
Ndulele ni nini mkuu?Pole pole mkuu, Kiufupi nilipata shida hiyi miaka ya nyuma na tatizo ni kwamba nilikuwa napendelea vitu vya sukari ambavyo vilipelekea meno kupekechwa na kuwa mepesi nikang'oa ila wapi nakumbuka Luna Sikh nililala kwenye boneti ya gari,ni baada ya MTU kuniambia nikajaze jino lililokuwa limetoboka,asubuhi yake ilibidi tuu niwahi wakalichomoe..
Tiba: nilitumia ndulele ,unachkua ndulele kama tano unakata kati unachemsha na maji nusu Lita ikichemka kabisa unaacha ipoe kisha unasukutua asubuhi,mchana jioni Siku tano,ndio Tiba ilionisaidia miaka kumi sasa shida imeisha,shida ni madini ya calcium Mara nyingi hivyo vitu kama dagaa vinasaidia,sidhani kama kuna mdudu wa jino kwangu ni nadharia...karibu
Amoxline 2*3*7
Rejea post #9Ndulele ni nini mkuu?
NilishastaafuWewe ni daktari?
Nilishastaafu
Rejea post #9
Atajua ni tango pori au siyo siku ya nne baada ya kuanza dozi,,itakuwa ajabu sana kama haitamsaidia,,Sawa.maana kutoa dawa kama hyo.
Lazma uwe daktari kama ulikuwa daktari hapo sawa.
Niliogopa usije ukamlisha tango pori.