Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,111
- 18,327
Simbilisi mkubwa, una ona rahisi damu ya mtu kupotea.
Jamaa alikuwa ana lugha kali sana. Unaweza ukawa unakosoa lakini pia unapaswa uchague aina ya maneno ya kutumia. Jamaa alikuwa anatumia maneno ya kuudhi sana.
Hao majambazi waliomteka hawatamrudisha trust me. Jamaa ndo basi tena kama ben saa nane. Hawawezi mrudisha kwa aina ya maneno aliyokuwa anaandika.