thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,256
- 9,085
Vijana tumieni elimu zenu katika kujiletea maendeleo,acheni kufanya mambo ambayo yanaichukiza jamii,kutumia jina aka "dingirai jiwe"haikuondolei hatia kwa jinsi maudhui yako yanavyojieleza.
Vijana jikiteni kubuni mbinu ,miradi ,serikali iko tayari kuwasaidia ,vinginevyo mtatengeneza uadui na kila mtanzania.
Hakuna anaependa kutukanwa,kudhalilishwa,kubezwa,kukejeriwa,kudhihakiwa,wote tuna roho za nyama .
Vinginevyo maadui tunawatengeneza wenyewe kupitia kauli zetu,matendo yetu hasi,
Mwisho ,mungu ajalie mpendwa wetu apatikane salama
Vijana jikiteni kubuni mbinu ,miradi ,serikali iko tayari kuwasaidia ,vinginevyo mtatengeneza uadui na kila mtanzania.
Hakuna anaependa kutukanwa,kudhalilishwa,kubezwa,kukejeriwa,kudhihakiwa,wote tuna roho za nyama .
Vinginevyo maadui tunawatengeneza wenyewe kupitia kauli zetu,matendo yetu hasi,
Mwisho ,mungu ajalie mpendwa wetu apatikane salama