BUBERWA D.
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 2,293
- 1,170
Sasa kamtetee mahakamani nafikiri kwa hoja hizo anatoka kesho.Two different situations
Nchambi ni known wildlife profiteer and abuser
It was the matter of time
Mdude ni critic wa serikali,known worldwide,na ni known hashughuliki na madawa ya kulevya
Prosecution ya Mdude ni politically motivated!
Thats the fact!
kweli kabisa ni uboya na ushamba,kodi yetu imechezewa,imetumika kumsafirisha huyo malaya Arusha to mbeya plus Mdude kala 1.7 MWaliochezesha hilo picha ndio vituko zaidi.. wanatumia nyundo kuua sisimizi.
uko sahihi kabisaUkiwa mwanaharakati unayepingana na serikali unatakiwa uoe haraka sana ili just in case something happen basi uwe umeacha japo katoto.
Ukiwa mwanaharakati unayepingana na serikali unatakiwa uachane kabisa na mademu wa mitandaoni au kufanya appointment na watu usiowajua, au uwafanyie thorough assessment kwanza kabla hujakutana nao.
Huyu jamaa kama kweli kashikwa kizembe hivyo atakiwa amewaangusha makamanda wenzie. Utakuwaje mwanaharakati mwenye njaa na papuchi?
Unforgetable
Sent using Jamii Forums mobile app
Kamemwachia FUTAKala mzigo wiki mbili? FAKE ORGASM.....kanaweza ata kakawa kamemwaambukiza korona
Sasa kamtetee mahakamani nafikiri kwa hoja hizo anatoka kesho.
Unadhani ni vibaya unapokuwa unanenepesha ng'ombe kumuondolea kunguni, viroboto na kupe?Haitaji msaada wangu
Yupo well taken care of
Tatizo ni wenye madaraka badala ya kufanya kazi ya maendeleo,wao wapo busy kuwekea watu madawa ya kulevya ili wawafunge kwa uonevu!
Which shows kuna watu hawajui wajibu wao sawasawa!
Shame on these lunatics!
Unadhani ni vibaya unapokuwa unanenepesha ng'ombe kumuondolea kunguni, viroboto na kupe?
Ukiona hivyo "watu hawana kazi za kufanya"Hizi mbinu za warusi tunazishushia hadhi kwa kutumia kukamata raia wa kawaida na sio gaidi
Chadema ndivyo walivyo,wanakutumia halafu wanakuacha unahangaika na familia yakoHatimae watu wameshamsahau.Kuna la kujifunza. Watu walimsifia ,leo sidhani hata uji wanampelekea kule Lupango.