Mdogo wangu anataka kusoma Dental Therapy, inalipa?

Mdogo wangu anataka kusoma Dental Therapy, inalipa?

C.Thady

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2015
Posts
589
Reaction score
155
Mdogo wangu anataka kwenda kusoma dental therapy je inalipa wadau??
 
dental therapy is good just work smart as it was adviced by honeybee
 
hakuna kitu kisicholipa hapa chini ya jua...

tunafanya makosa kucheza na wakati, uhitaji wa icho kitu kwa walipaji na mazingira..
 
Sijui kuhusu bongo lakini hii kitu Abroad inalipa sana most paying jobs ni udaktari wa meno na upasuaji ni balaa mkuu
 
Yaani mdogo wako mpaka sasa hajijui? Suala la yeye kuchagua fani ni muhimu zaidi kuliko suala la wewe kuona inafaa au haifai?
Hakuna fani isiyokuwa inalipa, tatizo inalipaje, lini italipa na nani wa kukulipa.

Dental therapy ina uhakika wa kuajiriwa serikalini na kulipwa wastani wa mshahara wa 400,000/= kwa mwezi(Basic salary).
Faida kubwa inakuja anapoweza kujiajiri mwenyewe na kupata wateja, mtaji mkubwa wa kuweza kujiajiri ni kupata venue nzuri town(kodi wastani wa laki mbili) na Dental chair(cheap inauzwa 2ml) na Dental machines(New
Portable yenye compressor inaanzia kama 7ml)
 
Yaani mdogo wako mpaka sasa hajijui? Suala la yeye kuchagua fani ni muhimu zaidi kuliko suala la wewe kuona inafaa au haifai?
Hakuna fani isiyokuwa inalipa, tatizo inalipaje, lini italipa na nani wa kukulipa.

Dental therapy ina uhakika wa kuajiriwa serikalini na kulipwa wastani wa mshahara wa 400,000/= kwa mwezi(Basic salary).
Faida kubwa inakuja anapoweza kujiajiri mwenyewe na kupata wateja, mtaji mkubwa wa kuweza kujiajiri ni kupata venue nzuri town(kodi wastani wa laki mbili) na Dental chair(cheap inauzwa 2ml) na Dental machines(New
Portable yenye compressor inaanzia kama 7ml)

Yeye ndio anataka hiyo
 
Vyuo vizur kwa hii course tafadhali
 
Mdogo wangu anataka kwenda kusoma dental therapy je inalipa wadau??
Inalipa Mkuu Coz Walaji Wa Pip Na Biskut Bado Tupo Wengi. Wale Wasiopiga Mswaki Ndio Usiseme Kabisaaaa...
 
Back
Top Bottom