Scorpio Me JF-Expert Member Aug 2, 2016 6,120 7,912 Dec 5, 2019 #23 Kwani wewe huna mashost umpe?? Au madogo wa mashost pia??? Mitandaoni humu sio poa.
Baba Joseph17 JF-Expert Member Jul 15, 2013 9,518 9,722 Dec 5, 2019 #24 Ana GPA ya ngapi? Maana inaonekana alikuwa anasoma kwa bidii hata wasichana alikuwa hawaoni Queen Latifah said: Mambo zenu,nina mdogo wangu wa kiume kamaliza chuo na anatafuta mtu serious He is 24 black and tall Hii ni kwa wadada tu I want to do him a favor Pm me if interested Click to expand...
Ana GPA ya ngapi? Maana inaonekana alikuwa anasoma kwa bidii hata wasichana alikuwa hawaoni Queen Latifah said: Mambo zenu,nina mdogo wangu wa kiume kamaliza chuo na anatafuta mtu serious He is 24 black and tall Hii ni kwa wadada tu I want to do him a favor Pm me if interested Click to expand...
Nanoli JF-Expert Member Oct 15, 2015 3,735 5,967 Dec 5, 2019 #26 Ushaambiwa humu ndani watu wapo kwenye dozi,.. Line kubwa ya umeme wa taifa umeunganisha wengi,... Na wewe unamtosa mdogo wako aunganishwe!?
Ushaambiwa humu ndani watu wapo kwenye dozi,.. Line kubwa ya umeme wa taifa umeunganisha wengi,... Na wewe unamtosa mdogo wako aunganishwe!?
kiboboso JF-Expert Member Sep 17, 2013 9,182 12,286 Dec 5, 2019 #27 Nanoli said: Ushaambiwa humu ndani watu wapo kwenye dozi,.. Line kubwa ya umeme wa taifa umeunganisha wengi,... Na wewe unamtosa mdogo wako aunganishwe!? Click to expand... Ya ngoswe mwachie ngoswe mkuu
Nanoli said: Ushaambiwa humu ndani watu wapo kwenye dozi,.. Line kubwa ya umeme wa taifa umeunganisha wengi,... Na wewe unamtosa mdogo wako aunganishwe!? Click to expand... Ya ngoswe mwachie ngoswe mkuu
Mcqueenen JF-Expert Member Nov 2, 2019 6,818 11,542 Dec 5, 2019 #28 Nanoli said: Ushaambiwa humu ndani watu wapo kwenye dozi,.. Line kubwa ya umeme wa taifa umeunganisha wengi,... Na wewe unamtosa mdogo wako aunganishwe!? Click to expand... Umeme upo kila sehem hata mtaan hawa hawa wa Jf ndo tunakutana nao makanisan na misikitin
Nanoli said: Ushaambiwa humu ndani watu wapo kwenye dozi,.. Line kubwa ya umeme wa taifa umeunganisha wengi,... Na wewe unamtosa mdogo wako aunganishwe!? Click to expand... Umeme upo kila sehem hata mtaan hawa hawa wa Jf ndo tunakutana nao makanisan na misikitin