Mdogo wangu ananitaka kimapenzi

Ana mapepo huyo anahitaji maombezi
 
Eti, namheshimu mara anajiua mara sitaki kuwa na mahusiano.
Hizi TV zinatumalizia watoto.
 
Ndugu ni yule umezaliwa nae tumbo moja otherwise huyo sio ndugu mpe mambo na utulie nae tu....

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Wewe kama unaona ni sawa mpe. Kama unaona ni vibaya mwache anywe sumu. Utuletee mrejesho baada ya kufikia uamuzi.
 

Chezea kujiua...wanaojiua huwa hawatishii, wanatenda kimya kimya!!!Mwambie ajiue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…