miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,414
- 10,970
Ma zamaradi naye muhaya kheee... siyo muha?So far sijaona kabila lenye wanawake wenye mafanikio na elimu kubwa Kama wanamama wa kihaya.
Na huko bukoba ndo wanafanya Mambo makubwa.
Mfano mama Regina zachwa huyu ana kampuni kubwa la urembo nchini
Wengine Kama Mama abayo anayemiliki kiwanda Cha abayo
Angalia wakina madamu Rita wa bongo star search
Angalia wanawake wenye akili Kama zamaradi mketema
Angalia wakina professor birungi nk
Na bukoba ndo kuna shule zaidi za watoto kike nchini Rugambwa,omwani, kajumulo Alexander, bukoba sec high school,hekima girls,Josiah girls nk nk
Lakin wabongo wengi wanavyowasema wanawake wa kihaya unaweza fikiri wanawake wa kihaya kazi yao ni kujiuza tu wakati hao ni asilimia chache Sana ya wanawake wa kihaya ambao wengi wanamafanikio binafsi Bila kuu waume zao
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app