Mdogo mdogo Wahaya wanarudi kuwekeza kwao. Bukoba itarecover one-day hata Kama serikali haipajali

Hujaona hoja kwa kuwa huna akili ya kujua hoja na viroja.
Wahaya mnatia mwingi viroja kisa kamhaya kamoja au tuwili tumejenga basi generalization inaanza.

Kwa wachaga ktk nyanja ya transport pekee muhaya(bwenga) anaingia mara mia
Wachagga kumbe mnaongoza kwa sifa nyingine ya matusi ambayo watu walikuwa hawajui
 
Hujaona hoja kwa kuwa huna akili ya kujua hoja na viroja.
Wahaya mnatia mwingi viroja kisa kamhaya kamoja au tuwili tumejenga basi generalization inaanza.

Kwa wachaga ktk nyanja ya transport pekee muhaya(bwenga) anaingia mara mia
Kila watu Wana sehemu wamewekeza.

Hata wachaga wakija kwenye sekta ya shule nzr na maarufu hapa nchini wako doro kwa wahaya pia...
 
Jaribu uwe unatembea Tanzania.

Mkoa kagera utamaduni wa kuchangishana kwa ajili ya maendeleo ya kata na vijiji kati ya diaspora umekuwepo kitambo


Mfano Kuna ruzunga day,kitwe day,Gera day nk hiz siku Mara nyingi huwa ni tarehe 26 December boxing day huwa Kuna harambee ya kuchangia maendeleo ya vijiji na kata kati ya diaspora na wakazi wa vijiji

Tazama hapa michango ya ruzinga day huko misenyi.


Nyie wachaga mna maneno tu na sifa za uongoView attachment 1961537View attachment 1961538
Hivi umeelewa nilichoandika?
 
Kila watu Wana sehemu wamewekeza.

Hata wachaga wakija kwenye sekta ya shule nzr na maarufu hapa nchini wako doro kwa wahaya pia...
Acha uzwazwa Mkuu, Kilimanjaro shule nyingi ni private zimejengwa na wachaga wenyewe kwa asilimia kubwa,chuo kikuu chá Eckenford nacho ni chá mchaga niambie mhaya mmoja tu anaemiliki chuo kikuu
 
Wew Cha kwako Kiko wap hapo Moshi..

Wachaga mna dharau za kijinga Sana na wivu mbaya +roho mbaya
Kwani ni uongo? Mfano Kilimanjaro express Ana basi(Scania Marcopolo) zaidi ya 30 Kila basi ni billion 1.2 sijawataja kina BM coach,kina ester,kina kidia one, Kandahar,machame exp,Lim ,ibra line,NK
 
Bora mjitahidi, niliwahi pita Bukoba, daah nikadhani ni Kijiji kumbe ndiyo nipo Mjini kati ......nikajiuliza haya makelele yao kumbe kupo ovyo hivi


.
 
Back
Top Bottom