mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Chadema wachague kuwa na busara- issue ya ENL kurudi CCM wasiongelee kabisaaa.
Midomo ndio silaha ya wanasiasa sio mabunduki kama polifisiem!chadema wana midomo jamani kah
Wewe unawazuia kama nani kuongea? Acha uoga wa kifisiem!
Kwa sasa siwezi kuwa na imani na mwanasiasa yoyote bali najitaidi kujenga imani juu ya Tanzania yangu.Mdee amefunguka hayo wakati akijibu swali kuhusu maoni yake kufuatia aliyekuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na Mgombea huyo wa Urais mwaka 2015 kwa mwamvuli wa Ukawa, tangu aliposema 'amerudi nyumbani'.
"Natambua changamoto nyingi anazopitia za kifamilia na kibiashara, akalazimika kuomba po! sikuona haja ya kusema chochote nikiheshimu uamuzi wake. Najua nafsi yake inavuja damu ya usaliti kwa waliompa heshima na ‘kumrudishia uhai’"Halima James Mdee.
Edward Lowassa alirejea Chama cha Mapinduzi (CCM) Ijumaa, ya wiki iliyopita na kupokelewa na uongozi wa juu wa chama hicho akiwemo Mwenyekiti, Dk. Joh Pombe Magufuli.
Baada ya kurejea CCM, Lowassa hakuzungumza chochote zaidi ya kusema tu kuwa, "nimerudi nyumbani".
Mdee amefunguka hayo wakati akijibu swali kuhusu maoni yake kufuatia aliyekuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na Mgombea huyo wa Urais mwaka 2015 kwa mwamvuli wa Ukawa, tangu aliposema 'amerudi nyumbani'.
"Natambua changamoto nyingi anazopitia za kifamilia na kibiashara, akalazimika kuomba po! sikuona haja ya kusema chochote nikiheshimu uamuzi wake. Najua nafsi yake inavuja damu ya usaliti kwa waliompa heshima na ‘kumrudishia uhai’"Halima James Mdee.
Edward Lowassa alirejea Chama cha Mapinduzi (CCM) Ijumaa, ya wiki iliyopita na kupokelewa na uongozi wa juu wa chama hicho akiwemo Mwenyekiti, Dk. Joh Pombe Magufuli.
Baada ya kurejea CCM, Lowassa hakuzungumza chochote zaidi ya kusema tu kuwa, "nimerudi nyumbani".
Lkn inawezekanaje mwanasiasa wa kiwango cha EL asizungumziwe? Hata alipoenda Chadem6, CCM walimzungumzia sana, tena kwa maneno ya kutia kinyaa, live kwenye TV (kumbuka Polepole pale Channel TEN)Chadema wachague kuwa na busara- issue ya ENL kurudi CCM wasiongelee kabisaaa.
mbona ameongea vizuri?Chadema wachague kuwa na busara- issue ya ENL kurudi CCM wasiongelee kabisaaa.
ameongea vizuri sanaKwanini wasimuongelee unataka busara gani mbona Halima kamuongelea tu vizur na hajamtukana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ameongelewa vibaya?wabongo hawapendi ukweli..Halima Mdee needs to shut up.
..wakiendelea kumuandama huyu mzee wananchi wanaweza kumuona yeye(lowassa) ni victim na chadema ni wabaya/watesi.
Hapana huwezi kuzuiya kusichwe
Jr
Fisadi lowassaChadema wachague kuwa na busara- issue ya ENL kurudi CCM wasiongelee kabisaaa.