hexacyanoferrate
JF-Expert Member
- May 15, 2014
- 1,232
- 792
Wapigania uhuru walikuwa hivihivi,walipigwa,waliteswa na hata kufungwa,mfano mandela na wengine wengi,lakini haeakukata tamaa na uhuru ulipatikana.hata hapa tanzania uhuru upo,huo unakuja,tutapambana tu hivihivi mpaka tutakuwa huru.