Hata kulema alhamdulilahi imekushinda as if hiyo nyama umepatia kwa akili zako na nguvu zakounajua kufakamia manyama yakama umeumba wewe daah Umshukuru Mungu kwa neema kubwa kubwa na ndogi ndogo alizo kuruzukia, kaafir mkubwa wee
Sent using Jamii Forums mobile app
Vifaa made in Vatican
Hata hujui tofauti ya mseng na hanith
Hata hujui tofauti ya mseng na hanithrudi kilingeni kaandike makombe na kuosha mbuguma
Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo kawe udoweni kuna mzee anaitwa msisi ya buku 3 humalizi utaita kijiji wakusaidie kuilaIPO wapi hyo nikumbshe n bei ziko nafuu
ni miratul rasul ibn abd allahumeandika ;
Hata hujui tofauti ya mseng na hanith
swali:
HUYU ANAYELISHWA KISAGO ATAKUWA NANI KATI YA HAO WAWILI ??
Nimesha kujibuumeandika ;
Hata hujui tofauti ya mseng na hanith
swali:
HUYU ANAYELISHWA KISAGO ATAKUWA NANI KATI YA HAO WAWILI ??
Rosti na ugali, huyu mdudu ni shida sana.Rosti shata shata.. Rosti mboga mboga au kavu.. Embu tupe ujuzi wako mdau..Vipi kuhusu viungo.. Unapenda iwekewe viungo au unataka ule ikiwa na ladha yake tukufu?
Hadi udenda wantoka jamaniRosti na ugali, huyu mdudu ni shida sana.
Ila mimi huwa nakosheka zaidi na iliyokaangwa steki pembeni ndizi zilizokaangwa zile za mshale na mbivu lwa mbaaali na kachumbari