Mdau anauliza

Kwa nini mpaka sasa mamlaka haijaachia huru mtandao wa JAMII FORUM kupatikana kwa watu wote hata baada ya tarehe ya kifungo kuisha? Kuna maelezo yoyote kuhusu swala hili?

Mjumbe
Lawless state
 
Kwa nini mpaka sasa mamlaka haijaachia huru mtandao wa JAMII FORUM kupatikana kwa watu wote hata baada ya tarehe ya kifungo kuisha? Kuna maelezo yoyote kuhusu swala hili?

Mjumbe
Twitter zamani X walisema ina maudhui ya ngono.. na JF sijui ...... 🤐🤐
 
Machawa yamejazana humu kila mda yanandisha nyuzi za ovyo kwa VPN.
 
Serikali Inayo tegemea maelekezo toka juu madhara yake ndo haya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…