MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,760
- 48,410
- Thread starter
- #21
Ulijuake? Uliwaongelesha English ukabaini hawajui? Na kama umaongea juu ya hawa wazee kijijini, hilo linaeleweka.
Hata hapo Tz niliwahi kuona documentary flani hawa wamama flani wazee kwenye kijiji flani karibu na Dodoma walikuwa wakihojiwa, na badala ya kujibu kwa kiswahili kama wale watu wengine, walikuwa wakitumia hiyo kilugha.
Sio watz wote wanajua Kiswahili.
Yeye mwenyewe hata hiyo English haijui, sasa aliwapima vipi.