Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,597
Wadau jumamosi tarehe 30 july 2011, star Tv watarusha mdahalo wenye mada, Bunge la kumi na tanzania tunayoitaka, wazungumzaji wakuu watakuwa Mh. Ndugai Naibu Spika na Tundu lissu.
Bila shaka hii itakuwa swaaaaafi sana!!
Source: Star TV
Bila shaka hii itakuwa swaaaaafi sana!!
Source: Star TV
Last edited by a moderator: