airGrid
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 973
- 784
Hawa njano na kijani kweli wame M'misi sana Raisi wa awamu ya 5, Mh. Lowassa, wanajitahidi sana angalau hata wakae karibu naye...wamekuwa wazuri lini wakulazimishia midahalo? nani anashida na midahalo, baada ya kupigwa chini kwenye kampeni wameibuka na mbinu M'BADALA..."MDAHALO" hilo ni jiwe kuu la pembeni,
Mdahalo wa Lowassa ataufanya na wapiga kura wake, hiyo midahalo yenu FEKI hatuna haja nayo, mbinu zenu za kizamani tushazishtukia mutachora chini MWAKA huu...
Mdahalo wa Lowassa ataufanya na wapiga kura wake, hiyo midahalo yenu FEKI hatuna haja nayo, mbinu zenu za kizamani tushazishtukia mutachora chini MWAKA huu...