Morrice shemu
New Member
- Jan 8, 2017
- 2
- 1
Habari zenu, naitwa adam nipo dodoma mjini maeneo ya nkuhungu natafuta msichana/mdada wa saloon anaejua kusuka, kuset na kuchana mitindo ya aina yote ( mtaalam ) mshahala ni 80000 chakula juu yangu. Namba yangu ni 0718921255