Mdada wa kuuza duka la vipodozi anahitajika

Mdada wa kuuza duka la vipodozi anahitajika

Babu Kijana

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2013
Posts
589
Reaction score
278
Natafuta dada anayejitambua kuuza vipodozi kinondoni mkwajuni, awe anaishi karibu kiasi anaweza kutembea tu kwenda dukani, mtu wa mbali hatakiwi.

Pia awe anajua kusoma na kuandika, awe tayari kufanya kazi saa mbili aaubuhi mpaka saa nne usiku kila siku.

Mwisho awe mchangamfu na kauli nzuri kwa wateja.

Mshahara maelewano. Naomba anipm.
 
Naomba mm hiyo kazi ila nakaa biafra, kuhusu kuwahi sina tatizo kwani sina mtu wakunichelewesha asubuhi,nitashukuru nikiipata hiyo nafasi.ahsante.
 
Natafuta dada anayejitambua kuuza vipodozi kinondoni mkwajuni, awe anaishi karibu kiasi anaweza kutembea tu kwenda dukani, mtu wa mbali hatakiwi.

Pia awe anajua kusoma na kuandika, awe tayari kufanya kazi saa mbili aaubuhi mpaka saa nne usiku kila siku.

Mwisho awe mchangamfu na kauli nzuri kwa wateja.

Mshahara maelewano. Naomba anipm.
 
Nitafute kuna mdada yupo hapa kinondoni amemaliza kidato cha nne anajielewa 0712202449
 
Back
Top Bottom