X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,700
- 14,767
Case closed
Awaitaki au muda bado...?
Dau hilo limezingatia kipindi cha majaribio/interview kisha itaongezeka ikiwa vigezo vitazingatiwSubir wanakuja ila dau lako la kitoto ongeza kidogo nikuletee jiran yangu huku sizonje
Mkoa....gani huoUkienda bush huko kuna mabinti wenye ndoto ya kwenda mjini
Wamelala kabisa hawataki kuchangamkia fursa
Sijui wameenda wapingoja waje wadada
Anzia mkoa unaitoka weweMkoa....gani huo
Mimi natoka hapa hapa daslamaAnzia mkoa unaitoka wewe
Kulikoni...tena
Ndio...ongezeko litakuwepo...baada ya kujiridhisha kuwa anamudu kazi
**** la mama ako acha kuwa na tabia za kishoga35,000? zaa wako ukampe hiyo pesa? kisa analala na kula kwenu