Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,915
- 30,027
Sifa nyingine utadhani anatafutwa mke.
Kuna Ubaya?
Sifa nyingine utadhani anatafutwa mke.
Anahitajika dada mwenye elimu ya form iv an vi.
Awe mkazi wa dar es salaam.
Offic iko magomeni mapipa.
Awe anapanda gani moja kufika hapo au hapandi kabisa gari.
SIFA:
1.Awe mwenye kujipenda
2.Elimu form six or four
3.Anajua kingereza
4.Anajua kujieleza vizuri
5.umri kuanzia miaka 18-24.
6.mrembo na mwenye kujienda
KAZI
1.kutunza office
2.kupokea simu
3.kupokea wageni
4.kuweka taarifa kwenye computer,kutuma emails na kupokea.
NB kama hajui computer atafundishwa bure.
MAWASILIANO:
Phone:0713-810857
E-mail: imamu.njama@yahoo.com