Mchungaji nae

Mchungaji nae

hamukoko

Member
Joined
Mar 16, 2011
Posts
34
Reaction score
10
[h=3]MCHUNGAJI: Mgeukie jirani yako na umwambie Mungu yumwema, WAUMINI wote wakageukiana na kusema Mungu yumwema, MCHUNGAJI: Leo nitawaombea wale wote wasio zaa,mgeukie mwenzio na umwambie leo utapata mimba, mara likasikika bonge la kofi siti za nyuma! Kumbe mtoto 1 alimgeukia baba yake na kumwambia leo utapata mimba.[/h]
 
ahahahah aaahahhaahahha aahahahahaha ahahahhaa aahahahaha aaahhaahahha aaa haha aaha aaa ahahaahaha a aa aaahahaahahha aa ahahahaaahahahahhahahahahaha aahaahahahhahah
 
Back
Top Bottom