johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,879
Mchungaji Msigwa amesema kudai katiba mpya siyo kosa la jinai bali ni haki ya kikatiba ya kila mtanzania, hivyo kwa utaratibu unaotumika sasa watakamatwa wengi yaani na mchungaji Msigwa akiwemo.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Nawasalimu kwa jina la JMT!