Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,436
Serikali kupitia Kikosi Maalum cha
kupambana na dawa za Kulevya,
inamshikilia Mchungaji wa Kanisa la Lord
Chosen Charismatic Church lililopo Kinondoni
Biafra jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za
kukutwa na kilo 81 za COCAINE
alizokamatwa nazo nyumbani kwake
Kunduchi Mtongani jijini.
Source: www.cloudafm.co
kupambana na dawa za Kulevya,
inamshikilia Mchungaji wa Kanisa la Lord
Chosen Charismatic Church lililopo Kinondoni
Biafra jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za
kukutwa na kilo 81 za COCAINE
alizokamatwa nazo nyumbani kwake
Kunduchi Mtongani jijini.
Source: www.cloudafm.co