Haha watu mnamambo!
kamatia fursa hiyo kidume hicho kimejileta kwako
Kings daughter unataka nigombane na mfalme...
Najua sasa una umri 22-25 sasa. Sijali kabila njoo PM. Tuongee zaidi tupange uwe mama wa watoto wangu.
Najua ni muda mrefu na umepitia mengi...Mimi pia nimepitia mengi mpaka sasa ni miaka 32.
Nnashukuru Mungu nna makazi..na imebaki kuanzisha familia..ungana nami tupate bar aka za mwenyezi.
Nakupenda sana...sitokutenda ukaenda.
Huwezi amini nilishakata tamaa kukuona
Karibu
Pole sana kwa yaliyo kukuta
Msipiganeeee...
Kings daughter unataka nigombane na mfalme...
Mmm..pole kumbe x wako alikuwa anakupiga
Jamanii..kumbe kuna watu wakatili hivyo
Nafikiri..
Ungekimbia asingekuchoma kisu
Kesho ni siku muhimu kwetu..my valentine
Najua ni muda mrefu na umepitia mengi...Mimi pia nimepitia mengi mpaka sasa ni miaka 32.
Nnashukuru Mungu nna makazi..na imebaki kuanzisha familia..ungana nami tupate bar aka za mwenyezi.