HahahaNilishakumbwa na mkasa kama wako, nilikuwa nawasiliana naye zaidi ya mara mia mbili kwa siku, hakuwa mchumba bali mke wa ndoa, nimeinvest kwa mke na familia yake, LAKINI hakuwa mke wangu alikuwa MKE WETU. Nimeachana naye... wewe pia achana naye tena unabahati hata hujatangaza kama ni mke. ILA ujue hakuna mwanamke wa peke yako, ukiwa unanamchumba sema mchumba wetu, ukiwa na mke sema mke wetu MWIKO kusema mchumba wangu au mke wangu nasema MWIKO!
Asee hii tabia mbaya kweli kweli ndio maana nasema kizazi cha leo si cha watu wavumilivu kabisaPeople want too much...u only get few good traits in some1..
Mtu akikosa trait moja ndogo anasahau mazuri anaenda kwa mtu mpya
Well Said BrotherHuyo ulimkosea kuanzia mwanzo. Ulimuendea kistaarabu mno na ukawa mpole mno. Dalili mojawapo ni kukaa mwaka bila papuchi...
Wanawake hawapendi nice guys mkuu. Hata kama ni muoaji, be a man. Kuwa na misimamo. Usifuate matakwa yake muda wote, be a priority to yourself.
Muendeshe. Demand utmost respect. Usionyeshe kumuamini. Onyesha kuwa una options na sio kwamba yeye ndio kila kitu kwako. Mwambie kuwa she is highly replaceable hivyo akijiskia at any time anaweza kuondoka.
Mmiliki, lakini be confident. Usimfuatilie mawasiliano yake na nyendo zake. Na ukigundua kitu kwenye simu yake, usimwambie. Basically ingekuwa mahakamani tungesema whatever you find in her phone is inadmissible evidence.
Hakuna principle moja kwamba ukimpa mwanamke kitu flani atatulia. No man knows what women want. Neither do themselves. Neither does God, hata akasema tuishi nao kwa akili.
Hizo principles nilizokupa zitakukinga dhidi ya upuuzi wa hawa viumbe in the future. Your sanity is more important than sex and affection.
Huyo hata ukimsamehe, nakuasi usirudiane naye. Ameshakumark weakness yako. Alianza kukupush limits zako kidogo kidogo na ameshazisogeza sana. Hakufai tena.
Kila mtu ana namna yake ya kudeal na heartbreak. Do what a nigga's got to do.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole mkuu,kama umekula papuchi yake na ikakuvutia piga kimya endelea na taratibu oa,pia usipende kuchunguza sana simu ya mpenzi wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kama haitoshi bado mtu anakwambia anataka soulmate...heheheheh...Asee hii tabia mbaya kweli kweli ndio maana nasema kizazi cha leo si cha watu wavumilivu kabisa
Soulmate utampatia wapi bila pesa, wasichana wanadanga balaa.Na kama haitoshi bado mtu anakwambia anataka soulmate...heheheheh...
Mkuu kwani hata ukiangalia simu ndio huchapiwi?jidanganye hivyohivyo kama hujui wenzio wamekalili namba za wapenzi wao kuliko miaka yao waliozaliwa,mkuu tambua pia hainaga makombo na kizuri kula na wenzioNyie ndo mnapigiwa Daily!sasa hapo asingeangalia simu si angeoa garasa! Mm nampongeza sana kwa kuangalia simu na kugundua madudu mapema
Sent from my iPhone using JamiiForums
Pesa isnt the answer either ...japo ina nafasi yake ukijua kuitumiaSoulmate utampatia wapi bila pesa, wasichana wanadanga balaa.
Yeah ina nafasi yake kweli, kuboresha mahusiano. Ila sasa wenzetu wengi japo si wote hamuelewi mtu bila chenchi sikuhizi.Pesa isnt the answer either ...japo ina nafasi yake ukijua kuitumia
Kwa sbb hata km ukivumilia siku akizipata anamtafta mpya...tafteni tu pesa jmn...jinsia zote..Yeah ina nafasi yake kweli, kuboresha mahusiano. Ila sasa wenzetu wengi japo si wote hamuelewi mtu bila chenchi sikuhizi.
Inategemea na mlivyoishi, siamini kama mtu ulieishi nae kwa upendo bila masimango ama style za kumcheat wakati hana pesa anaweza kuendelea kuwa na wewe akizishika noti. How you behave by the time a man needs you the most ita determine his reaction kipindi ambacho amezipata za kutosha. Tatizo wengi wanaishi na mtu akiwa hana wanamsimanga na kudanga pembeni af wanatarajia miujiza.Kwa sbb hata km ukivumilia siku akizipata anamtafta mpya...tafteni tu pesa jmn...jinsia zote..
Kama ulimkuta bikra halafu akakusaliti Hapo inakuaje mkuu?Ulijuaje Mpenzi wako anamsimamo je ulimkuta Bikra??
Bila Bikra huna uhalali wa kumtetea mkeo au mpenzi wako.
Ulijuaje Mpenzi wako anamsimamo je ulimkuta Bikra??
Bila Bikra huna uhalali wa kumtetea mkeo au mpenzi wako.
Pole sana mdogo wangu. Short and clear , achana naye kabisa huyu binti. Ni malaya, hata ukimuona, utatafuniwa hapo hapo kwako. Ndivyo wambulu walivyo, labda kama huwajuiWakubwa zangu shikamooni, vijana wenzangu habari vipi?
Ndugu zangu, nipo serious sanaa katika ombi langu, nakuomba unipe muda wa kunisikiliza kidogo na unishauri kama inafaa.
Mimi ni kijana nina umri wa miaka 29, ni mwajiliwa serikalini idara ya Afya. Kuna binti nilianza nae uchumba 2017 mwanzoni yeye akiwa chuo flan cha afya, Mimi ni Mgogo yeye ni Mbulu ana miaka 24 sasa.
Tulianza mapenzi akiwa ameonesha msimamo wa kutoshiriki tendo lolote na mimi mpaka mwaka mmoja ulipopita ndo tukaanza kukutana kimwili. Ni binti ambae niliona huyu anafaa kuwa mke wangu kabisaa maana alikua ana msimamo sanaa hata kwa watu wengi waliokua wakimtongoza maana alikua ananionesha sms na calls zao, bas nikawa namshauri wajibu wewe ni mke wa mtu na unahitaji heshima, kiukweli nilijipa moyo hapa nimepata mke kweli kweli.
Basi akamaliza chuo 2017 mwishoni nikamtaftia ajira ya kujishikiza mahali flani mkoa wa Mwanza. Sasa nikawa nimeongea na mtu mmoja awe anafatilia nyendo zake wakati mimi nipo mbali.
Alipotimiza miezi miwili kazini nikapata taarifa kuna kabwana mdogo ka umri wa miaka 22 - 24 kanatembea nae hapo hapo alipopanga chumba, sikutaka kuamini, ikanibidi siku moja nifanye kusadiri kwenda kumtembelea kimya kimya bila taarifa, nikafika akanipokea vizuri. Ilipofika usiku nikamwambia sasa mpenzi unaweza kunihakikishia huku huna mchezo wowote mchafu wa kimahusiano? Akanijibu hapana kabisa mpenzi wangu naomba uniamini.
Nikamuuliza, Je, unaweza kunipa simu yako nikague chochote? Akapata kigugumizi sanaaaaa, nikamuuliza Unanipenda na unajiamini? Akajibu ndio, nikamwambia bas naomba simu yako, akapata kigugumizi kizito sanaaa.
Basi ikanibidi nichukue simu yake nipitie sms na whatsap, aseee niliyoyakuta ni mazito mnooooooo wallahi Nimepata simanzi kubwa sanaaa, ikanibidi niondoke usiku huo huo kwenda kutafta Lodge nikalala na kesho nikaondoka kurudi kazini.
Mchumba wangu huyu nilikua nimeshafahamiana na ndugu zake baadhi na mama yake mzazi alikua ananijua kwa picha tu na alikua tayari karidhia niwewe mkwe wake kabla hata sijaenda kujitambulisha maana matendo niliyomfanyia mwane ni mwanaume mwenye malengo mazuri wazi wazi. Kinachoniuma zaidi ni kwamba nimetumia muda mwingi sanaaa kumjenga kiimani, kumjenga juu ya tabia za wanaume wenye tamaa, kiukweli niliamini huyu mwanamke sasa hakuna atakae weza kumshawishi maana hata mimi binafsi nilikua nimebadilika sanaaa kitabia sikuwa nnahamu na michepuko tena niliona sasa huu ni muda wa kutulia na mwanamke mmoja sina haja ya kutanga tanga na dunia ya leo.
Ndugu zangu niko serious sanaaa, naombeni ushauri cha kufanya, mwanamke huyu alikua anatembea na kijana wa mwenye nyumba tena kwa kulala nae chumbani kwake karibu kila wiki.
Mwanamke alionesha sanaaa kunipenda tulikua tunawasiliana kila siku zaidi ya mara 5 kila siku ya Mungu. Leo naona dunia imenigeuka, nina maumivu makali sanaaaa, niliplan nije kumtambulisha kwetu mwaka huu December, na kwao ningeenda kujitambulisha November ili mwakani Mungu akijaalia tufunge Ndoa. Wakuu, niko gizani, nina msongo wa mawazo, mimi ni jasiri sanaaa lakini nakuomba wewe ndugu yangu ushauri wako katika hili, nakuomba usinitukane wala kunikejeli maana utaniongezea majonzi makubwa.
Naamini thread yangu hii itawafunza na wengine watakao kumbwa na mkasa kama wangu.
ASANTE kwa Muda wako
Sent using Jamii Forums mobile app