Mchumba wangu huyu simuelewi. Ushauri jamani.


fanya maamuzi magumu kumuacha,huyo hakupendi na wala hili haliitaji ushauri.

kinyume na hapo subiri maumivu.
 
Nazan huyo anakurahisishia kujua kilicho mbele ya maisha yenu baada ya ndoa,,,
 
She is just not into you....... Wen a woman loves,loves for real kuna mwengine hapo...TAFAKARI
 
asanteni kwa ushauri wenu mzuri ingawa kuna baadhi wameonyesha udhaifu wao wa kimawazo.
 
amepata mwingine anakupotezea muda huyo mpotezee tafuta mwingine
 
Hakupendi ila kuna kitu anataka kwako ndio maana anazuga kulia, Mkuu kuna mtu anapendwa hapo sio wewe.
 
mmmmh!cna la kuxema

Haaaaaahhh!!!!nakereka sana na hii...sa hiyo "X" iliyokaa badala "S" imefupisha nini?Ebu ona "Kusema" lina herufi 6, na hiyo "Kuxema" herufi zilezile 6..Kwa neno "cna" sawa maana lisipofupishwa huwa refu "sina" linakua na herufi 4.......Usijisikie vibaya nimeona nisema maana huwa nikiona uandishi huo pasipo kua na maana yoyote nakereka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…