docta sule
Member
- Jun 5, 2015
- 42
- 6
- Thread starter
- #41
weka hapahapa mkuu kabla mzuka wa ubuyu haujaishaa
mhh ubuyu ntakuongeza wala ucjali
weka hapahapa mkuu kabla mzuka wa ubuyu haujaishaa
Siyo saize yako..
Jamani,c ukaushe tu hata kama we sio me? Lol!
Mwambie huyo mchumba ako akope kwa baba ake then akupe hiyo hela ya mahali ukatoe kwa mzee wake tena
Wakuu naombeni msaada wenu,
Nina mchumba wangu ambae ni mwaka sasa tangu tuanzishe mahusiano yetu, nimefikia muda wazazi wake wanapokea wanaume wanataka wamuoe mchumba wangu ila mchumba wangu amekataa katakata.
Amewaambia wazazi wake kua ameshampata mchumba ambae ni mimi sasa wazazi wake wanataka nikajitambulishe kwao then mimi kimaisha bado naishi kwa wazazi wangu na nina kibarua kwenye kampuni sina chumba sina godoro sina kitanda.
Sasa wazazi wake wamemwambia nikapeleke mahari sasa nimechanganyikiwa sijui nafanyaje juu ya swala hili na mchumba nimeshamwambia kua sina kitu chochote cha kuanzia maisha.
Wakuu msaada wenu
We nenda tu hata kama huna chochote...., ili mradi uwaonyeshe kuwa uko serious, na pia waone kuwa anaposema anaye anamaanisha anaye...........! USIPOENDA aisee
waweza fikia hatua ukajiua ee