Tafuta kwanzaa hela kijana mwenzangu, wekeza kwanza vya kutosha mapenzi yapo na kuoa kupo. Kamwe usiharakishe mambo kwa kuusikiza sana moyo utajiaribia future yako, jitosheleze kwanza vya kutosha ili familia utakayoileta ije iishi vyema.
Anza kupanga muda wa kukaa kwa wazaz umeisha kama unafanya kazi nunua kitu kimoja kimoja na usiweke nyumbani vilipie dukani na uviache mpaka utakapokuwa tayar kuchukua Nb yawe maduka rafiki na aminifu.
kama unahitaji msaada wa mawazo mwambie akubali kuolewa itakuwa dawa tosha utapata mawazo mengi hadi ukomeckuhitaj hela mkuu ni msada wa mawazo tu ungetosha sana.so kunionea huruma kwake m kuna affect gan?
Si kukurupuka nyie Ndio mnaopotezea muda mabinti wa watu ni dhahiri huna uwezo wa kumuoa la sivyo utaomba michango hadi jf baada ya Hapo maisha ya shida binti anaanza kujuta unaanza kuchapiwa,usiruke stage jiweke sawa kwanza unaonekana bado hujapevuka kwa kitendo cha kuishi kwa wazazi.
kama unahitaji msaada wa mawazo mwambie akubali kuolewa itakuwa dawa tosha utapata mawazo mengi hadi ukome
Wacha tu wamwoe. Yan una kibarua halafu unakosa godoro la shilingi elfu hamsini, unashindwa kupanga chumba cha shilingi elfu ishirini kwa mwezi? Mimi ninachojua kazi nyingi kima cha chini sio chini ya laki mbili. Ela zako wewe unazipeleka wapi unaishia kuwa kula kulala? Unampotezea timing tu mtoto wa watu!
kama anakupenda uyo mwanamke utamuoa ww tu wala usiogope mkuu.
nmeshangaa godoro la 3×6 chumba cha uswahilini ambacho hakina umeme 15,000/ kashindwa huyp dada aolewe tu fasta
da mwaj waukweli.hebu ni pm nkupe siri
Who told u mi ni me????????
weka hapahapa mkuu kabla mzuka wa ubuyu haujaishaa