docta sule
Member
- Jun 5, 2015
- 42
- 6
Wakuu naombeni msaada wenu,
Nina mchumba wangu ambae ni mwaka sasa tangu tuanzishe mahusiano yetu, nimefikia muda wazazi wake wanapokea wanaume wanataka wamuoe mchumba wangu ila mchumba wangu amekataa katakata.
Amewaambia wazazi wake kua ameshampata mchumba ambae ni mimi sasa wazazi wake wanataka nikajitambulishe kwao then mimi kimaisha bado naishi kwa wazazi wangu na nina kibarua kwenye kampuni sina chumba sina godoro sina kitanda.
Sasa wazazi wake wamemwambia nikapeleke mahari sasa nimechanganyikiwa sijui nafanyaje juu ya swala hili na mchumba nimeshamwambia kua sina kitu chochote cha kuanzia maisha.
Wakuu msaada wenu
Nina mchumba wangu ambae ni mwaka sasa tangu tuanzishe mahusiano yetu, nimefikia muda wazazi wake wanapokea wanaume wanataka wamuoe mchumba wangu ila mchumba wangu amekataa katakata.
Amewaambia wazazi wake kua ameshampata mchumba ambae ni mimi sasa wazazi wake wanataka nikajitambulishe kwao then mimi kimaisha bado naishi kwa wazazi wangu na nina kibarua kwenye kampuni sina chumba sina godoro sina kitanda.
Sasa wazazi wake wamemwambia nikapeleke mahari sasa nimechanganyikiwa sijui nafanyaje juu ya swala hili na mchumba nimeshamwambia kua sina kitu chochote cha kuanzia maisha.
Wakuu msaada wenu