Sasa huyo mtoto unaeogopa asizaliwe wakat huu, akizaliwa ndo atakua anakula magunia ya msosi kwa siku?, au ndo atakua kama jini anaamka usiku anameza pesa yako hyo kidogo unayoipata kwenye mishe zako!
Ngoja sasa we si unajifanya et hautaki kuitwa baba sasa hvi, unajifanya una magumu wakati bi dada ndo kaiva kunyonyesha, subili wenye hamu ya kuitwa baba waje wafanye yao, wakusaidie kupachika mtoto!
Halafu yakikukuta ya kukukuta usirudi hapa kutupgia kelele, upambane na hali yako hukohuko maana haujielew! Kuna watu wanashikishwa mavuno ya starehe za watu, leo wew unaombwa eti had uje kuomba ushauri hapa!