Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Nina mchumba wangu huyo amekuwa akinishawishi tuzae mtoto upande wangu kiukweli kimaisha bado sijasimama hapa nilipo ninawaza hiyo mimba nitaileaje mtoto nitamleaje wakati kipato changu chenyewe hakieleweki lakini pia kwao sijulikani na yeye kwetu hatambuliki.
Lakini binti amekomaa tuzae mtoto ananiambia tusichelewe sana sababu ya umri wetu umeenda haya mambo mengine yatajiseti mbele kwa mbele mpaka sasa sijachukua maamuzi yeyote yale ila tuu naombeni ushauri mzuri wa busara kutoka kwenu makonki wa JF.
Uamuzi upi sahihi wa kuchukua tuzae tuu au tuendele kusubili wakati sahihi japo mwenzangu ana kiu ya kupata mtoto.
Lakini binti amekomaa tuzae mtoto ananiambia tusichelewe sana sababu ya umri wetu umeenda haya mambo mengine yatajiseti mbele kwa mbele mpaka sasa sijachukua maamuzi yeyote yale ila tuu naombeni ushauri mzuri wa busara kutoka kwenu makonki wa JF.
Uamuzi upi sahihi wa kuchukua tuzae tuu au tuendele kusubili wakati sahihi japo mwenzangu ana kiu ya kupata mtoto.