trojan92 Senior Member Joined May 18, 2024 Posts 106 Reaction score 292 Sep 1, 2024 #1 Wadau mimi nina swali hapa. Wapi ni sehemu sahihi haswa ya kukutana na mchumba wa kuoa? Wengi wanasema sehemu ya ibada, je nyie wana jamii Forum mwaona wapi ni pazuri kukutana na mchumba wa kuanza nae mahusiano na baadae ndoa?
Wadau mimi nina swali hapa. Wapi ni sehemu sahihi haswa ya kukutana na mchumba wa kuoa? Wengi wanasema sehemu ya ibada, je nyie wana jamii Forum mwaona wapi ni pazuri kukutana na mchumba wa kuanza nae mahusiano na baadae ndoa?
KENZY JF-Expert Member Joined Dec 27, 2015 Posts 35,761 Reaction score 86,423 Sep 1, 2024 #2 Haitabiriki weka tangazo hata humu utampata,ni kama kubeti tu popote unaweza kumpata!.
Mama Mwana JF-Expert Member Joined Jun 6, 2023 Posts 2,510 Reaction score 8,006 Sep 1, 2024 #3 popote pale hata kituo cha polisi
Gentlemen_ JF-Expert Member Joined Nov 24, 2019 Posts 4,630 Reaction score 14,602 Sep 1, 2024 #4 Inategemea unamtaka wa aina gani.. Kama wa Kishua huwez kukutana nae BUZA kwa Lulenge.. labda kama kaenda msibani.
Inategemea unamtaka wa aina gani.. Kama wa Kishua huwez kukutana nae BUZA kwa Lulenge.. labda kama kaenda msibani.
The Icebreaker Platinum Member Joined Apr 24, 2014 Posts 34,201 Reaction score 103,023 Sep 1, 2024 #5 Gentlemen_ said: Inategemea unamtaka wa aina gani.. Kama wa Kishua huwez kukutana nae BUZA kwa Lulenge.. labda kama kaenda msibani. Click to expand... Uzi uishie hapa tafadhali.
Gentlemen_ said: Inategemea unamtaka wa aina gani.. Kama wa Kishua huwez kukutana nae BUZA kwa Lulenge.. labda kama kaenda msibani. Click to expand... Uzi uishie hapa tafadhali.
kipanga85 JF-Expert Member Joined Apr 15, 2024 Posts 2,673 Reaction score 7,256 Sep 1, 2024 #6 asante kwa taarifa
Tareek Azeez JF-Expert Member Joined Mar 29, 2014 Posts 12,958 Reaction score 32,452 Sep 1, 2024 #7 "Jf chit: Mchezo wa kutafuta mchumba"
Foffana JF-Expert Member Joined Oct 29, 2022 Posts 2,781 Reaction score 4,578 Sep 1, 2024 #8 Unampata Chuo