Sio China tu, hata mimi niliwahi kuifanya hapo Bongo. Nilikuwa natafuta nyumba ya kupanga, Baba mwenye nyumba akasema anataka mtu mwenye mume/mke. Nikawasimulia vijana wa mujini, wakasema hiyo sio issue, nitakafutiwa mwenza wa kukodi na nyumba nikapata kwa muda wa miezi sita niliyokuwa katika majukumu eneo hilo, ila aliishia kuwa wa kukodi kwa shughuli hiyo maana baada ya kupata nyumba kila mmoja alibaki na hamsini zake na Ba' Mwenye nyumba hakufuatilia kuniulizia kuhusu mwenza.