Mchumba - Mwanamke - Karibu

Mchumba - Mwanamke - Karibu

KisakaJr

Member
Joined
Mar 3, 2015
Posts
18
Reaction score
0
Kama kuna mwanamke mwenye uhitaji wa mwanaume ili awe mume wake wa maisha yake, aje Pm tafadhali.
 
Natafuta mchumba - Mwanamke ambaye Ana uhitaji Kama Mimi. Mie Ni mkristo wa Romani , Nina miaka 35, mwajiriwa, elimu-chuo Kikuu. Mwanamke ninaye muhitajia awe na sifa zifuatazo: Awe na uhitaji wa Mume / maisha ya ndoa, umri kuanzia miaka 25 hadi 30, Dini yeyote ile , awe mweupe au Maji ya kunde, awe na kijungu cha kutosha cha kuvutia, asiwe mwembamba/flat screen, Kabila lolote lile, awe na TRUE LOVE! Elimu kuanzia Diploma na kuendelea hadi Masters! Awe mpenda maendeleo ! Aliye tayari KARIBU PM! Moderator natumia simu so you can edit the content/spacing not otherwise! THANK YOU!

Wanawake kwa kutujaribu wanaume, ni kiboko! Sasa weye miaka 35 hujaolewa kisa elimu au?
 
Weeee Songea huko mbali sana, huko tafuta mabinti wa kingoni au wamatengo nasikia wapo vizuri sana! Hata ukimpata muhamiaji wa huko like Chagas' Nyakyusa , Hehe + wabena we funga nao Pingu / ndoa hawatakusumbua . Vinginevyo njoo huku kwetu kaskazini upate raha Za dunia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom