Mchumba /mume

Utakuwa sura mbaya, mnene uko round huwezi jua mbele ni wap nyuma ni wap
 
Vipi ushapata tayari ama
 
Mabaharia mnaangusha kambi.... Ni kweli kabisa huyu amekosa wa kumtimizia haja..
 
Sifa zako wewe zikoje
 
Mtu anataka mume 30-40 hivi kweli mimi niwe na 40 na nisiwe nimewahi tengana na mke wangu? Hilo tangazo tafuta Katekista mpe aka print apeleke Kwa ndugu mapadri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…