Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,219
Maovu mengi yetu nyie ni chanzo toka mwanzo mwa dunia au umesahau nyie ndo chanzo cha binadamu wa kwanza (Adam) kutenda zambi na kufukuzwa bustaniniHebu rudia tena, mnachofanya nyie ni afadhali? Kwahiyo maovu yenu nyie mnayaona yana afadhali kuliko ya kwetu? Lizarazu unaona nilichokuwa nakwambia sasa? Hapa napo mtasema nawatetea tu wanawake wenzangu?
Vikao vyenu mnakutanaga wapi vile ? Muwege mnatualika kila hoja tupige kura kuipitisha[emoji23][emoji23][emoji23]
Sio mnakaa peke yenu mnapitisha mkidhani tutatekeleza kirahisi hivyo[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Basi hicho ulichomalizia mwishoni ndicho nilichotaka ukiri kwamba wote wanaume na wanawake wanaweza kuwa chanzo cha maovu kwenye mapenzi na hilo ni kweli hivyo basi tuache kutupiana lawama kama tunaamua kuyakemea hayo maovu basi tuyakemee kwa jinsia zote na kama tunaamua kuyakalia kimya basi tuyakalie kimya kwa jinsia zoteMaovu mengi yetu nyie ni chanzo toka mwanzo mwa dunia au umesahau nyie ndo chanzo cha binadamu wa kwanza (Adam) kutenda zambi na kufukuzwa bustanini
Mwanaume ni kiumbe chenye utashi wa hali ya juu na ndo maana tukaumbwa kama kiongoz kwenu hatuna shida kabisa tatizo mnatuchokonoa sana tunaamua kufanya maamuz magumu ambayo nyie mnaita maovu ila kama mtaisha vzuri na sisi dunia itakuwa sehemu salama
Chukua ukweli mchungu hapa chini [emoji116]
Mwanamke Mara nyingi ni chanzo cha matatizo hata kweny mambo ya mahusiano au kifamilia lakini haimaanishi sisi wanaume sio chanzo sometimes tunaweza kuwa
Mimi nlikuwa naipagana vita hii ila nkaona ya nini kupigana vita isiyo maslahi yoyote??
Basi sawa siku nyingine kweny harakati zako usikemee maovu yetu na yakwenu pia usi base upande mmoja kama ufanyavyoBasi hicho ulichomalizia mwishoni ndicho nilichotaka ukiri kwamba wote wanaume na wanawake wanaweza kuwa chanzo cha maovu kwenye mapenzi na hilo ni kweli hivyo basi tuache kutupiana lawama kama tunaamua kuyakemea hayo maovu basi tuyakemee kwa jinsia zote na kama tunaamua kuyakalia kimya basi tuyakalie kimya kwa jinsia zote
Nkuendelezee???
Mleta mada kaleta na mfano wa kisa kujustify point yake, na ww leta mfn wa kisa kimoja kujustify point ykoKwani ni wanaume wangapi wanafanyiwa fadhila nyingi na wanawake zao kwenye mahusiano na bado hao wanaume wanawaacha hao wanawake mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu haya mambo wakifanyiwa wanawake mnaona ni kawaida ila mkifanyiwa wanaume mnaona ni uonevu
Kama unasomaga posts zangu na kuzielewa vizuri basi utagundua kuwa huwa sibase upande mmoja naanzaga na kusema wote tuna makosa ila kuna wanaume wanakuja wanapinga wanasema wanawake ndo tuna makosa sasa katika kuwajibu hao ili kuwathibitishia inaonekana ni kama nakemea maovu ya wanaume tu lakini kumbe ya wanawake nayo nilishayakemeaBasi sawa siku nyingine kweny harakati zako usikemee maovu yetu na yakwenu pia usi base upande mmoja kama ufanyavyo
No offense miss Edelyn
Mkuu hawa ndugu zetu tunawalaumu ila sometimes naanza kuamini uchawi upoHivi unaanzaje kusomesha demu?
Sina haja ya kuleta mfano hapa ukiamini sawa usipoamini sawa na kutokuamini kwako hakubadilishi ukweli kwamba hayo mambo yapo maana naweza nikakuletea mfano hapa na bado usiamini vile vileMleta mada kaleta na mfano wa kisa kujustify point yake, na ww leta mfn wa kisa kimoja kujustify point yko
Uchawi ktk ili swala siamini.Mkuu hawa ndugu zetu tunawalaumu ila sometimes naanza kuamini uchawi upo
Not only JF men but all men who blame on women in all matters maybe you can tell me the reasons why many if not all men like to blame on women in everything why?
Anachosema ni kweli kabisa. Maovu ya mwanaume hayafikii hata kidogo dhambi na maovu ya mwanamke.Hebu rudia tena, mnachofanya nyie ni afadhali? Kwahiyo maovu yenu nyie mnayaona yana afadhali kuliko ya kwetu? Lizarazu unaona nilichokuwa nakwambia sasa? Hapa napo mtasema nawatetea tu wanawake wenzangu?
Issa lie oooI am not so sure if men blame on women when things don't go in right tract, but what I know is you women have mastered in blame game and that's well known fact.
We can confidently prove this in skyrocketting divorce rate, about 80% of divorces filed by women worldwide.
Anachosema ni kweli kabisa. Maovu ya mwanaume hayafikii hata kidogo dhambi na maovu ya mwanamke.
mfano, nionyeshe wanaume watatu waliowapiga chini wachumba zao baada ya kusaidiwa na kutoboa kimaisha, mimi nitakuonyesha wanawake 100 waliosomeshwa na wachumba zao kisha wakawapiga chini na kuolewa na wanaume wengine.
Nionyeshe wanaume wanne waliofanikiwa kupata utajiri kwa kukwapua mali za wake zao aidha kwa kutumia fimbo ya sheria au kuua kabisa, mimi nitakuonyesha wanawake 1000 waliojipatia utajiri kwa njia hiyo.
Nionyeshe wanaume sita waliokimbia watoto wao wa kuwazaa, mimi nitakuonyesha wanawake 200 waliowasingizia wanaume watoto na kisha kuwageuka baadae baada ya wanaume hao kuwalelea watoto hao.
Hiyo ni roho ya ' kimaskini'Kama tulivyokubaliana kwenye kikao chetu, kuwa ni maeufuku kumsomesha mchumba wako. Hili tulishalifunga na atakae tuletea malalamiko tutampiga kwenzi kuu, ndio tunampa ushauri.
Sambamba na hilo, niongezee kuwa ni marufuku kumuuguza mchumba wako. Hapa nazungumzia matatizo makubwa ynayoghalimu muda na Pesa za kutosha.
Baadhi ya magonjwa hayo ni, kisukari, kifafa, ugumba, miscarriage za Mara kwa Mara, moyo, figo na matatizo mengine sawa na hayo. Mwanamke ukimsaidia na kupona, dharau huwa kubwa sana na hata ndugu wanaweza kukuuliza, "unataka urudishiwe kiasi gani ili uachane nae".
Muuguze yule tu unayeishi nae kama hujamuoa achana nae.
*********** ushuhuda *********
Kuna jamaa anaitwa Steve, huyu bwana alikutana na demu mkali (Beth). Tatizo la huyo demu alikuwa na matatizo ya kukamaa mfano wa kifafa. Ndugu walihangaika wakachemka, wakakata tamaa.
Baada ya muda jamaa akajitosa. Akaanza kumhangaikia na demu akaenda kuponea kilolo ndani ndani huko. Jamaa ilimghalimu kama kilo 9 hivi, baada ya demu kupona ndugu wakampa ruhusa ya kuishi nae.
Mwaka mmoja mbele (mwaka huu), binti akawa hakamatiki. Madoni ya mji yaliyomdharau yakaanza kumfukuzia by hook and crook. Demu akaanza dharau, pia kutokana na jamaa kuunga unga tu life ikabidi asalimu amri.
Nilikaa nae muda mrefu na kumpa ushauri uliomsaidia sana. Maana jamaa alishaanza kupiga hesabu tu ya namna ya kuacha kuvuta oxygen. Lakini demu kuonesha kuwa hamtaki jamaa alikunywa mpaka sumu kuwaahinikiza ndugu zake wamtoe kwa jamaa.
Niishie tu hapo lakini, ole wake atakae muuguza mchumba!!!!!!!!!!.