Mchumba hauguzwi

Mzee wa counterargument za utetezi ningeshangaa sana kama usingetokea kwenye huu Uzi.
 
Umesahau kitu kingine kwenye kile kikao chetu mkuu!,ni marufuku kulipa mahari zaidi ya Laki 4 narudia tena Laki 4,hata Kama ukiambiwa utoe milioni 10
 
MTOA UZI CHUKUA BALIMI ntalipa.. PITIA HAPA KIGAMBONI..
 
Mimi sikubaliani na wewe mleta mada! Hicho kikao ulikaa mwenyewe! Usitegemee fadhila baada ya kumsaidia MTU. Kama ni wako, wako tu.

Hata kama hukumsadia ipo siku atakuwacha kama sio wako. Upendo haubagui
 
Mimi sikubaliani na wewe mleta mada! Hicho kikao ulikaa mwenyewe! Usitegemee fadhila baada ya kumsaidia MTU. Kama ni wako, wako tu.

Hata kama hukumsadia ipo siku atakuwacha kama sio wako. Upendo haubagui
UKIKUA UTAMUELEWA MLETA UZI..
OVER
 
Kwahiyo wewe unataka afe? Ili upate faida gani kwani akipona mkaachana shida iko wapi wewe unajua atakayekufaa?
 
Watanyooka tu na magu anavyokaza kila kitu kitakaa kwenye mstari lazima mkuki ugeuki nyuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…