Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,234
- 17,826
Na mtoto wenu anaitwa peter au hilo ni jina mnalotarajia kumpa mtoto wenu ?
No yeye anawaza ndoa na harusi pia ndio sahihiHapo mmetofautiana kidogo tu.. Wewe unawaza NDOA ila mwenzio anawaza HARUSI. Anyway Jaribu kumuelewesha kwa unyenyekevu atakuelewa tu. Hofu yake hataki kuonekana masikini mbele ya watu wanaomzunguka.
Mbona avatar haina chochoteNimeangalia avatar yako nikafuta nilichokua naandika
Asante
SawaKubali anachosema Baba Pita.
Sasa hautaki kuchukuliwa bila ndoa si umuambie atafte atakaekubali!!!kiaje daby?
mi nawaza kama kipaumbele chake nikuoa angesitisha ujenzi kwanza sababu nyumba yakuishi nzuri tu IPO angesitisha baada ya kumaliza swala la ndoa anaendelea na ujenzi
hataki yeye anataka tukubaliane aje na gali abebe vitu vyangi nihamie kwake
fiksi tu anakupiga..ndoa ya kifahari ndio ikoje au ndo niniHabarin za jion wapendwa
Naomben mnisaidie mawazo
Ninamchumba wangu tuna mwaka na nusu tumeshamaliza taratibu zote mpaka mahari ameshatoa....mwanzo tulipanga tufunge ndoa mwezi wa 10nimekaaa nimeona kimya hata maandalizi hakuna ikabidi niulize VP utaratibu ....
Ndio akaniambia kwa sasa anaujenzi wa nyumban kwao anichukue tu hivyo hivyo mwaka kesho ndio tutafunga ndoa......mi nimemwambia kufunga ndoa haitaji gharama kubwa kama mkiamua mnafanya simple tu kwa gharama kidogo
Kwanza RC hua haina mambo mengi mnaweza nenda na wasimamizi wenu tu mkitoka mnaandaa chakula kidogo badae mnarudi kwenu
Anadai hili tendon halijirudii Mara 2 ni bora tuchukuane tu sasa hv badae akusanye kama mil 7 HV mwaka kesho afanye ya kifahari
...naomben mnishauri niende tu au nibane mpaka ndoa?