Jimmy copper
Member
- Sep 20, 2022
- 31
- 61
.
kaandika ki HR kabisa 😅Hili ni tangazo la kaz kabisa
Kashasema ye ni HR, usishangae, amezoea kuandaa matangazo ya nafasi za kaziHili ni tangazo la kaz kabisa
Ha ha ha, Yes chief we mean business!Hili ni tangazo la kaz kabisa
Asante sanaKila laheri
Mkuu ilifaa liweje kwani tangazo?Kashasema ye ni HR, usishangae, amezoea kuandaa matangazo ya nafasi za kazi
Wewe uko na kg ngapi, maana naamini urefu wako si abnormal ( mbilikimo)Tatizo urefu na hizo kg![]()

Cm kama 7 hazipooo kg moja imeongezekaaaWewe uko na kg ngapi, maana naamini urefu wako si abnormal ( mbilikimo)![]()


Bado upo kwenye range, kimo chako kwa ke ni Sawa kg wala si shida sababu unaweza punguza au ongezaCm kama 7 hazipooo kg moja imeongezekaaa![]()
Afu kumbe nilikuwa nafanya mahesabu vibaya kumbe 5'3ft ni sawa na 1.6m....Bado upo kwenye range, kimo chako kwa ke ni Sawa kg wala si shida sababu unaweza punguza au ongeza
Kwahyo sisi tulioishia darasa la saba B hamtutaki.
kwa jinsi wasomi wanavyothibitisha kufail katika mahusiano na ndoa kadri kadri siku zinavyoenda, niamini nachokwambia darasa la saba/ au form four kwasasa watarudi kwenye soko kwa kasi kubwa sana na wala muda si mrefu ujao. Kwahy cha msingi jiongezee uwezo tu katika maeneo mengine, sababu mwisho wa siku hata elimu bila kuelimika ni kazi bure, Tanzania tuna wahitimu wengi sana lkn wasomi wachache if you know what I mean.Afu kumbe nilikuwa nafanya mahesabu vibaya kumbe 5'3ft ni sawa na 1.6m....