Bree77
Senior Member
- Apr 5, 2022
- 177
- 262
Jamani mimi sielewagi shida ni nini, sometimes unaweza pata kijana mzuri tuu na unaona kabisa anatabia njema za kufaa kuwa hata mume/mke lakin mara nying hao ndo tunaowa push away.
Mimi nimemaliza chuo mwaka jana bana, sasa kulikua na mkaka ananipenda sana na kuniheshimu yan anaweza akaomba kunitoa out na kuspend na mm kwa hela zake lakin akiomba tunda hata ukimnyima alikua n muelewa sana.
Sasa kipind cha graduation aliniandalia zawad ya lunch mm Pamoja na familia yangu na akalipia yeye, cjui photoshoot make up alilipia yeye .
Sasa kwenye family lunch na yeye alikuja kwenye story mbili tatu akamwambia mama angu ananipenda na anataka kunioa, huwezi amini niliropoka maneno yule kaka alijisikia vbaya sana lakini kutoka hapo tukawa bado tunachat vizuri tuu kuna siku tena akaileta hiyo mada nilimuakia moto till today yule kaka ananitafutaga tuu kunijulia hali.
Alikua mtu mzur sana ukiwa na shida ya hela anakupa lakini ndo hivo sikuwah kuwa na hisia nae hata kidogo.
Je, wewe mkasa wako ni upi, uweze kushare na sisi kuhusu mtu aliwahi kukupenda na wewe hukumpenda. TIRIRIKA
Mimi nimemaliza chuo mwaka jana bana, sasa kulikua na mkaka ananipenda sana na kuniheshimu yan anaweza akaomba kunitoa out na kuspend na mm kwa hela zake lakin akiomba tunda hata ukimnyima alikua n muelewa sana.
Sasa kipind cha graduation aliniandalia zawad ya lunch mm Pamoja na familia yangu na akalipia yeye, cjui photoshoot make up alilipia yeye .
Sasa kwenye family lunch na yeye alikuja kwenye story mbili tatu akamwambia mama angu ananipenda na anataka kunioa, huwezi amini niliropoka maneno yule kaka alijisikia vbaya sana lakini kutoka hapo tukawa bado tunachat vizuri tuu kuna siku tena akaileta hiyo mada nilimuakia moto till today yule kaka ananitafutaga tuu kunijulia hali.
Alikua mtu mzur sana ukiwa na shida ya hela anakupa lakini ndo hivo sikuwah kuwa na hisia nae hata kidogo.
Je, wewe mkasa wako ni upi, uweze kushare na sisi kuhusu mtu aliwahi kukupenda na wewe hukumpenda. TIRIRIKA