verykeys
Senior Member
- Mar 29, 2016
- 155
- 90
Natamani kujua mchochezi kwenye nchi yangu ni mtu wa aina gani.
Wakiongea wengine ni wachochezi ila akisema yeye tusiwasikilize hao ila tumuunge yeye tu mkono hiyo sio mchochezi. Mtu mwingine akisema hali halisi iliyo nchini ni mchochezi, akisema yeye hali halisi iliyo nchini sio mchochezi.
Wapinzani wakismamishwa na wananchi watoe japo neno wanakamatwa kwa sababu wanakusudia shughuli za uchochezi, ila akisimamishwa yeye na kuongea atakavyo sio mchochezi. Ukikosoa ni kumdhalilisha na uchochezi ila akikosoa yeye ni msema kweli wa mungu.
Najaribu kuwaza sana ila nakosa majibu ya busara kwenye kichwa changu.
Serikali yangu ipo kwenye vita na matajiri na wezi. hadi hapo akili yangu inaniambia nipo salama mana mimi sio tajiri wala mwizi. Najaribu kutafuta kundi langu ili nijue hali hii ngumu inayonigusa kwan napigana na serikali kupitia kundi gani au mm ni adui wa serikali kupitia kundi gani.
Au labda na mm ni mchochezi?
Naombeni jibu wananchi hivi mchochezi ni mtu wa aina gani?
Wakiongea wengine ni wachochezi ila akisema yeye tusiwasikilize hao ila tumuunge yeye tu mkono hiyo sio mchochezi. Mtu mwingine akisema hali halisi iliyo nchini ni mchochezi, akisema yeye hali halisi iliyo nchini sio mchochezi.
Wapinzani wakismamishwa na wananchi watoe japo neno wanakamatwa kwa sababu wanakusudia shughuli za uchochezi, ila akisimamishwa yeye na kuongea atakavyo sio mchochezi. Ukikosoa ni kumdhalilisha na uchochezi ila akikosoa yeye ni msema kweli wa mungu.
Najaribu kuwaza sana ila nakosa majibu ya busara kwenye kichwa changu.
Serikali yangu ipo kwenye vita na matajiri na wezi. hadi hapo akili yangu inaniambia nipo salama mana mimi sio tajiri wala mwizi. Najaribu kutafuta kundi langu ili nijue hali hii ngumu inayonigusa kwan napigana na serikali kupitia kundi gani au mm ni adui wa serikali kupitia kundi gani.
Au labda na mm ni mchochezi?
Naombeni jibu wananchi hivi mchochezi ni mtu wa aina gani?