PostGE2025 Mchinjita: Lindi Mjini, vijana wa CCM walitumika kupiga na kuteka mawakala wetu, kuchoma nyumba zao

PostGE2025 Mchinjita: Lindi Mjini, vijana wa CCM walitumika kupiga na kuteka mawakala wetu, kuchoma nyumba zao

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Mwizukulu wa Buganda

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2024
Posts
638
Reaction score
1,771
Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo - Bara, Isihaka Mchinjita emeelezea kuwa Katika Jimbo la Lindi Mjini, Vijana wa CCM walitumika kupiga mawakala wetu, kuchoma moto nyumba zao na wengine walitekwa na kutupwa. Jeshi la polisi lilitumika kulinda uhalifu huu.

Lindi.png
 
Katika Jimbo la Lindi Mjini, Vijana wa CCM walitumika kupiga mawakala wetu, kuchoma moto nyumba zao na wengine walitekwa na kutupwa. Jeshi la polisi lilitumika kulinda uhalifu huu."
CCM imegeuka kuwa kama Janjaweed au Intarahamwe
 
Katika Jimbo la Lindi Mjini, Vijana wa CCM walitumika kupiga mawakala wetu, kuchoma moto nyumba zao na wengine walitekwa na kutupwa. Jeshi la polisi lilitumika kulinda uhalifu huu."
Isihaka wakati anahojiwa pale Tiviini alisema atalinda Kura, ameshindwa kulinda kura ?

analeta stori za kijinga jinga....
 
Na ukute ndio hao wao walikuwa mamluki kwenye maandamano waliochoma na kuiba mali za watu ili wapatie sababu ya kuwaua watanzania wasio na hatia. Maana wao ndio majambazi waliokubuhu.
 
Back
Top Bottom