Mchinjaji wa ISIS Jihadi John

Mchinjaji wa ISIS Jihadi John

Ushimen

Platinum Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
43,997
Reaction score
110,403
Maafisa wa usalama wa Tanzania walimkamata, wakamhoji, wakamweka ndani na kesho yake wakampakia kwenye ndege na kumrudisha kwao Uingereza kupitia Uholanzi.

Jihadi John aka Mohammed Emwazi alizaliwa Kuwait mwaka 1988 kabla ya kuhamia Uingereza akiwa na umri wa 6. Ana shahada ya kompyta kutoka chuo kikuu cha Westminster.

Jihadi John hakuwahi kushtakiwa kwa makosa yoyote ya ugaidi. Alitaka kuingia Tanzania baada ya mahafali yake ya chuo. Taarifa nyingine zinadai kuwa alitaka kuingia Tanzania kwa ajili ya safari ya mapumziko.

Hata hivyo, alianza kuingia kwenye rada za maafisa wa usalama wa Uingereza kati ya mwaka 2009 na 2010 wakati wakifanya uchunguzi wa Waingereza waliokuwa wanajiunga na wapiganaji wa al-Shabab.

Jihadi John alitaka kuingia Tanzania kwa jina la Muhammad ibn Muazzam. Alikuwa anasafiri na Mwingereza mwingine kwa jina Abu Talib na mwingine Mjerumani aliyeitwa Omar.

Baada ya kuhojiwa na vyombo vya usalama vya Tanzania, Jihadi John aliiambia Cage, ambayo ni taasisi iliyoko London inayotetea haki za watu wanaonyanyaswa na vyombo vya usalama, kuwa walinyanyaswa na kudhalilishwa na maafisa wa usalama.

Kwa mujibu wa Cage, aliporudishwa, Jihadi John alihojiwa na vyombo vya usalama vya Uholanzi na Uingereza. Inaonekana baada ya hapo walimwacha kurudi Uingereza.
Kuwait kuishi na ndugu wa baba yake na pia kuanza maisha mapya Mashariki ya Kati. Alipata kazi nzuri kwenye fani aliyosomea na akawa na mipango ya kuoa na kuishi Kuwait.

Hata hivyo, inadaiwa kuwa mwaka 2010 alikataliwa kwenda Kuwait baada ya kukamatwa na kuhojiwa kwa masaa sita katika uwanja wa ndege wa kimataifa Heathrow ulioko London.

Akiwa mahabusu, alidai kuwa alinyanyaswa na afisa mmoja wa usalama. Kwa mujibu wa Cage, hii ndiyo ilimfanya Jihadi John abadilishe mkondo wake wa maisha. Kabla ya hapo alikuwa amepanga kumwoa mchumba wake nchini Kuwait na alikuwa ameenda London kumalizia mipango ya ndoa.

Cage inadai kuwa Jihadi John alikuwa ana hasira kuondoka Uingereza na mwaka 2013 alibadilisha jina na kuitwa Mohammed al-Ayan.

Jihadi John alikuwa akiishi kwenye gorofa huko Queens Park, London Magharibi

Baada ya kubadilisha jina alijaribu tena kwenda Kuwait lakini alizuiliwa tena na vyombo vya usalama vya Uingereza. Mwezi Agosti, wazazi wake walimripoti kupotea, na miezi minne baadae inadaiwa polisi waliiambia familia yake kuwa alikuwa Syria, japokuwa familia yake walidhani alikuwa anafanya kazi ya kujitolea Uturuki.

Haijulikani alienda Syria lini lakini mwaka huo huo iliripotiwa kuwa alikuwa Idlib akisaidia kulinda mateka wa nchi za Ulaya.

Agosti 2014 alionekana kwenye video inayoonyesha mauaji ya mwandishi wa habari raia wa Marekani, James Foley. Miezi iliyofuata alionekana kwenye video za mauaji ya Steve Sotloff, David Haines na Alan Henning japokuwa haijulikani kama ni yeye aliwauwa.

Lakini Novemba 2014, Jihadi John alionekana kwenye video moja akihusika kumwua mwanajeshi wa Syria. Pia alisimama juu ya kichwa cha Mmarekani Peter Abdulrahman Kassig. Miezi miwili baadae alitokea tena kwenye video nyingine ambapo alimwua mateka wa Kijapani, Kenji Goto.
 

Attachments

  • 1447505565038.jpg
    1447505565038.jpg
    63.2 KB · Views: 649
Jihadi John (mwenye duara) akiwa na wanafunzi wenzake kwenye shule ya msingi ya Mtakatifu Maria ya Kanisa la Uingereza iliyopo London Magharibi
 

Attachments

  • 1447506781530.jpg
    1447506781530.jpg
    86.3 KB · Views: 581
Jihadi John alikuwa akiishi kwenye gorofa hilo huko Queens Park, London Magharibi
 

Attachments

  • 1447507020916.jpg
    1447507020916.jpg
    90.9 KB · Views: 536
ameuwawa jana na ndege za kimarekani zisizoktwa na rubani..ripoti kama itatoka wiki hii
 
[h=3][/h]



Wakati makomandoo wetu wanavunja matofali wenzetu wamemwua mtu wao wakia NEVADA na mtu wao akiwa LAGGA SYRIA. Vita mpaka umkamate mtu umvuje kama tofari nafasi hiyo utaipata wapi?
a



[h=1]How the US wiped ‘Jihadi John' off the face of the earth[/h]By Jamie Schram and Danika Fears








Name(required)
Email(required)
Comment(required)






November 14, 2015 | 12:43am

Modal Trigger
4462205c.jpg
The US is '99.9 percent' sure 'Jihadi John' was killed in a drone strike. Photo: REX Shutterstock

[h=3]MORE ON:[/h][h=6]jihadi john[/h]
[h=5]Families of 'Jihadi John' victims have mixed feelings about reported death[/h]
[h=5]It looks like we smoked this son of a bitch[/h]
[h=5]Video appears to show 'Jihadi John' unmasked for first time[/h]
[h=5]Ex-ISIS hostage details torture at hands of bloodthirsty 'Jihadi John'[/h]


The drone strike that wiped out ISIS executioner "Jihadi John" in Syria was controlled from an Air Force base deep in the Nevada desert in an operation months in the making, it was revealed Friday.
"This guy was a human animal, and killing him is probably making the world a better place," military spokesman US Army Col. Steven Warren said Friday.
Authorities are "99.9 percent sure" ISIS madman Mohammed Emwazi, 27, died during the US drone strike, which kicked off just before midnight local time on Thursday, a US official told The Post.
Three aerial vehicles - including a British drone and two MQ-9 Reaper drones owned by the US - had been following Emwazi for most of the day as he met with various people around the city, sources said.
At 11:40 p.m., drone operators stationed thousands of miles away at Creech Air Force Base in Nevada were given the green light as Emwazi got into a car at the Islamic courts in Raqqa, the Telegraph reported.
The operators released two Hellfire missiles, blowing the vehicle to bits.
"We didn't strike until we ID'd him coming out of the building and getting into the vehicle," the U.S. official said.
"We had a strong confirmation on who was getting in the vehicle and photographic evidence that the car evaporated."
Authorities had been monitoring Emwazi for a few days as he visited family in Raqqa and spent time at an Islamic State media operations center, officials said.
The sudden attack, which lasted just a matter of seconds, took place near a clock tower in the city's center that has been the site of numerous ISIS executions, an anti-ISIS activist group in Raqqa said.
Three burned-out vehicles remained at the site on Friday, according to the group, which calls itself Raqqa is Being Slaughtered Silently.
"We know for a fact that the weapons system hit its intended target, and that the personnel who were on the receiving end of that weapons system were in fact killed," Warren said, adding that the Pentagon is "reasonably certain" Emwazi perished in the strike.
The clock tower in central Raqqa.Photo: Reuters
 
[h=3][/h]



Wakati makomandoo wetu wanavunja matofali wenzetu wamemwua mtu wao wakia NEVADA na mtu wao akiwa LAGGA SYRIA. Vita mpaka umkamate mtu umvuje kama tofari nafasi hiyo utaipata wapi?
a



[h=1]How the US wiped ?Jihadi John? off the face of the earth[/h]By Jamie Schram and Danika Fears








Name(required)
Email(required)
Comment(required)






November 14, 2015 | 12:43am

Modal Trigger
4462205c.jpg
The US is '99.9 percent' sure 'Jihadi John' was killed in a drone strike. Photo: REX Shutterstock

[h=3]MORE ON:[/h][h=6]jihadi john[/h]
[h=5]Families of 'Jihadi John' victims have mixed feelings about reported death[/h]
[h=5]It looks like we smoked this son of a bitch[/h]
[h=5]Video appears to show 'Jihadi John' unmasked for first time[/h]
[h=5]Ex-ISIS hostage details torture at hands of bloodthirsty 'Jihadi John'[/h]


The drone strike that wiped out ISIS executioner ?Jihadi John? in Syria was controlled from an Air Force base deep in the Nevada desert in an operation months in the making, it was revealed Friday.
?This guy was a human animal, and killing him is probably making the world a better place,? military spokesman US Army Col. Steven Warren said Friday.
Authorities are ?99.9 percent sure? ISIS madman Mohammed Emwazi, 27, died during the US drone strike, which kicked off just before midnight local time on Thursday, a US official told The Post.
Three aerial vehicles ? including a British drone and two MQ-9 Reaper drones owned by the US ? had been following Emwazi for most of the day as he met with various people around the city, sources said.
At 11:40 p.m., drone operators stationed thousands of miles away at Creech Air Force Base in Nevada were given the green light as Emwazi got into a car at the Islamic courts in Raqqa, the Telegraph reported.
The operators released two Hellfire missiles, blowing the vehicle to bits.
?We didn?t strike until we ID?d him coming out of the building and getting into the vehicle,? the U.S. official said.
?We had a strong confirmation on who was getting in the vehicle and photographic evidence that the car evaporated.?
Authorities had been monitoring Emwazi for a few days as he visited family in Raqqa and spent time at an Islamic State media operations center, officials said.
The sudden attack, which lasted just a matter of seconds, took place near a clock tower in the city?s center that has been the site of numerous ISIS executions, an anti-ISIS activist group in Raqqa said.
Three burned-out vehicles remained at the site on Friday, according to the group, which calls itself Raqqa is Being Slaughtered Silently.
?We know for a fact that the weapons system hit its intended target, and that the personnel who were on the receiving end of that weapons system were in fact killed,? Warren said, adding that the Pentagon is ?reasonably certain? Emwazi perished in the strike.
The clock tower in central Raqqa.Photo: Reuters
 
mtoto wa nyoka ni nyoka tu. huwezi amini kama shetani anaweza kumwingia mwanadamu akawa kiumbe katili kama huyu jamaa. watoto wa shetan ni dhahiri na watoto wa Mungu ni dhahiri.
 
Back
Top Bottom