Simu zote za nokia bila kujali zinatengenezwa nchi gani ni original kwa ubora uleule iwapo tu zitatengenezwa na kiwanda halali cha nokia, hivyo zipo nokia original from china.
sema sasa kuna nokia fake zinazotengenezwa mtaani huko china na wajanja, kuzijua inahitaji utalaamu kidogo.
Cheki kunapost ya juzi juzi ilikuwa inaelezea haya mambo
NB si kila kinacho tengenezwa china ni fake, tatizo ni nchi hii haisimamii sheria ya ubora hivyo wafanyabiashara wetu wakifika china wanaulizwa unataka simu ya bei gani? simu aina moja unakuta kuna ya dola 10, dola 20, dola 50,dola 100 nk
So utakavyoshuka bei ndio unapata famba utakapo panda bei unapata kitu makini (hii ni kwa bidhaa zao)