ze farmer
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 921
- 1,800
Kiukweli naandika kwa masikitiko sana. Toka muda huyu mchuchu nilikuwa nahisi kama kuna kitu hakiko sawa. Sasa badala ya uchunguzi wangu wa kiintelijensia nikamfuma yuko na mchina. Sasa nimeongea kigentlemen na huyu mchina. Ili kuimalisha deplomasia kati ya Tz na China nikampotezea. Ila nimeamua kudeal na huyu mpuuzi. Sasa huyu mbwiga jana kaja home leo kapiga menu na nikaamua kumnyanganya kila nilichomnunulia akafie mbali.
Hivi nyie wadada mnamatatizo gani?
Hivi nyie wadada mnamatatizo gani?