nbayoungboy never broken
JF-Expert Member
- Apr 20, 2025
- 383
- 365
Tukirudi nyuma Israel ilifunga anga hadi marekani akatengeneza bandari ya mda ili kufikisha msaada gaza.
Leo hii mchina kapeleka msaada tena kupitia anga na jets za kivita kwa rada na mifumo ya Israel zingemnasa sababu Lote ni eneo la kivita.
Amewezaje au kulikuwa na makubaliano yoyote na Israel au China iko mbele sana haya mambo???
Leo hii mchina kapeleka msaada tena kupitia anga na jets za kivita kwa rada na mifumo ya Israel zingemnasa sababu Lote ni eneo la kivita.
Amewezaje au kulikuwa na makubaliano yoyote na Israel au China iko mbele sana haya mambo???